MALORI MANNE YA MIZIGO YAPATA AJALI JUZI KATIKA DARAJA LA WAMI




 Gari aina ya Fuso likiwa limepinduka Juzi Jumanne mara baada ya tairi la mbele kuchomoka Eneo la Wami Darajani pembeni ni gari aina ya fuso ambalo likuwa likibeba mizigo iliyokuwa imebebwa na fuso hilo lililopinduka
 Kwa mbele gari aina ya Fuso lilivyopinduka juzi jumanne eneo la Wami Darajani
 Hapa napo ni Wami darajani ambapo lori la mizigo nalo lilipiga mweleka mbaya sana Jumatatu ya wiki hii lakini halikuweza kutolewa hadi juzi jumanne usiku
 Fuso likibeba mizigo uiliyokuwa kwenye lori lililopinduka 
 Lori la Mizigo likitengenezwa mara baada ya kupata ajali eneo hilo la Wami Darajani Jumatatu ya Wikii hii na kushindwa kabisa kuondolewa hadi kufikia juzi jumanne usiku
Tera la lori likiwa limekatika kutoka kwenye lori la mizigo lililopata ajali Jumatatu ya Wiki hii eneo la Wami Darajani na kupelekea tera hilo kushindwa kuondolewa hadi kufikia jana Usiku
 Hili nalo 
 Wafanyakazi wa lori wakiendelea na zoezi la Uokoaji wa mizigo iliyokuwa kwenye lori hilo juzi Jumanne katika ajali iliyotokea Wami Darajani
 Hivi ndivyo lilivyokuwa mara baada ya kutoka nje ya barabara
Kwa Mbali linavyoonekana
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List