UTAFITI WA VIDONDA VYA TUMBO

 
Imeelezwa wanasiasa wengi nchini wanaweza kupata na maradhi ya vidonda vya tumbo, mara baada ya uchaguzi mkuu wa Raisi,wabunge na madiwani utakao fanyika oktoba mwaka huu

Hayo yameelezwa na kituo cha utafiti na matibabu ya Tumbo nchini ,TABCCOM, ambacho kimesema wanasiasa wanaokabiliwa na tatizo hilo ni wale watakao shindwa katika uchaguzi huo mkuu



 
Akizungumza na waandishi wa habari  Jijini Dar Es Salaam ,Mkurugenzi wa TABCCOM ,Dokta Khalid Hassein Mbwenya ,amesema kuna makundi matatu yanayokabiliwa na maradhi ya Vidonda vya Tumbo lakini wanasiasa ndilo kundi linalokabiliwa na tatizo hilo kuliko makundi mengine.
Amesema makundi mengine yanayokabiliwa na tatizo hilo ni wafanyakazi na wafanyabiashara,kutokana na kutumia muda mwingi wa kufanya shughu;I zao na kupitiliza muda wa kula,lakini wanasiaa wana hatari zaidi kutokana na msongo wa mawazo na kutokula.
Utafiti wa tiba hiyo umefanyika katika nchi za Tanzania,Burundi,Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,Camoro na Msumbiji.









Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List