Zangina shanang zangina amesema alikuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi kwa muda mrefu katika nafasi mbalimbali lakini amedai akitumikia katika hali ya uvuilivu kutokana na baadhi ya viongozi wa ccm kuongoza kwa ubinafsi zangina asema baada ya kutangaza nia ya ubunge ccm ambapo jina lake lilikatwa katika kura Za maoni ndipo alipo alipohamua mahamuzi magumu na kuingia Chama cha act nakupata lidhaa ya kugombea ubunge jimbo LA ubungo amewataka wananchi ifikapo tar 25 oktobar 2015 wamchague atawaletea maendeleo ya uchumi afya elimu MAJI miundombinu barabara pamoja na huduma zote za jamii
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni