Mgombea wa Jimbo la Ubungo Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi Ccm Didas Masaburi amewataka Wananchi wamchague ili aweze kutatua Shida ya Maji, Elimu Miundombinu ya Barabara, Afya kujenga Kituo cha Polisi kuimalisha hali ya Usalama kwa raia na Malizao pia.
Ataboresha ajira kwa vijana kwa kuwapatia pesa za mitaji kwa Kila kata millioni kumi na kusimamia michezo kwa kila kata kuboresha michezo kwa kutoa kipaumbele suala la Vifaa
0 comments:
Chapisha Maoni