Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Ccm Dk John Pombe Magufuli amewaomba wananchi wa Jimbo la Ubungo kumchagua kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakati akimnadi Didas Masaburi ambaye ni Mgombea wa Jimbo hilo pamoja na Madiwani wa Chama hicho Katika Kampeni hizo Dk. Magufuli ameahidi kuboresha tatizo la Miundombinu ya Maji taka yanayotiririka hovyo Katika maeneo ya Sinza pamoja na kuwajengea Miundombinu ya Maji safi na salama ili waondokane na tatizo la Ugonjwa sugu ya Kipindupindu unaosumbua wakazi wengi wa Jimbo hilo
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni