BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AJIFUA KUMKABILI TWAHA KIDUKU DESEMBA 25 MOROGORO

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akifundishwa ngumi za kwenda kasi zilizo nyooka na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Class anajiandaa na mpambano wake na  Twaha Kassimu 'Kiduku' Desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akielekezwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' jinsi ya kupiga ngumi za tumbo wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassim 'Kiduku' wakati wa mazoezi yake yanayoendelea katika uwanja wa basketboll shule ya uhuru Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA KOCHA RAJABU MHAMILA 'SUPER D'
IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE'

Bondia ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Class kujiandaa na mpambano wake wa desemba 25 kupambana na Twaha Kassimu mpambano utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia ibrahimu Maokola 'kushoto' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Class kujiandaa na mpambano wake wa desemba 25 kupambana na Twaha Kassimu mpambano utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro katikati  ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiwasimamia mazoezi haya ya kupigana Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa na mabondia kutoka kushoto Ibrahimu Class 'King clas Mawe' Ibrahimu Maokola na Yusuph Kasimu wakati wa mazoezi yanayoendelea katika uwanja wa basketboll shule ya uhuru Dar es salaam
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kutupa makonde makali  wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake desemba 25 na Twaha Kassim 'Kiduku'  yanayoendelea katika uwanja wa basketboll shule ya uhuru Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List