KURASINI BOMOABOMOA

Wakazi wa Kurasini Shimo la Udongo wameiomba Serikali iangalie tena fidia zilizolipwa kwa madai kuwa hazilingani na nyumba zao hali iliyowafanywa washindwe kuondoka kwa wakati                       Hata hivyo kati ya nyumba 165 ni wamiliki wa nyumba 65 tu ndiyo walienda Mahakamani kupinga malipo ya fidia na kupewa amri ya kusitisha zoezi hilo, nakupewa Stop Order                                       Diwani Aliyemaliza muda wake Kata ya Kurasini Wilifred Kimati amesema wakati mradi unaanza ndiye aliyekuwa kiongozi na kushiriki. mikutano yote na kudai kuwa baada ya kuona Kitabu  cha fidia kutoka Manispaa walikikataa                                            Mkurugenzi wa Manispaa Temeke Photidas Kagimbo amesema kila mwananchi wa eneo hilo la mradi tayari amelipwa na kukiiri pia kuwepo kwa baadhi ya wananchi ambao wamepeleka malalamiko ya kupinga fidia hizo Mahakamani

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List