Wamiliki wa Magari makubwa nchini yanayofanya safari zake katika nchi za jirani wamewashauri wenzao kuwa makini na kadi feki za kudhibiti magonjwa ya milipuko wakati wa kusafiri nje ya nchi YELLOW CARD na hivyo kusababisha kukosa msaada katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Afrika SADC na zile za Kibiashara COMESA. Ukamataji huo unaendeshwa na Kampuni inayotoa huduma ya Bima ya Kampuni ya Comesa Yellow Card Tanzania yenye jumla nchi wanachama 13.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni