MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA MAARUFU KAMA SABASABA YAANZA KUPAMBA MOTO DAR ES SALAAM




Mkurugenzi wa TAN TRADE ndugu;Jacqueline Mneney Maleko

Baadhi ya wafanya biashara wa  ndani


wananchi walioudhuria maonyeshoo.

Watanzania wameshauriwa kutumia fursa ya maonyesho ya Kimataifa wafike viwanja vya Sabasaba kupata mafunzo ,kubadilishana mawazo pia wanaweza kupata ajira kwa kutumia maonyesho hayo ya biashara kwa kuwa Nchi ya Marekani wameleta Kampuni kubwa zipatao 10 kushiriki maonyesho hayo

Hambapo jumla ya makampuni 498 kutoka nchi 31 za nje zinashiriki maonesho,Na hapa nchini mikoa 10 inashiriki zikiwepo Kampuni 1700 za ndani ya nchi.Watanzania waombwa kutumia  fursa kubwa ya maonyesho hayo ya 38



kubadilishana mawazo kutangaza soko la ndani na nje,Pia kuna banda maarumu la maonyesho la bidhaa za Tanzania.

Mkurugenzi Tan Trade bi Jacqueline Mneney Maleko amewataka watanzania wajitokeze kwa wingi kushiriki maonyesho hayo yatawapatia fursa kubwa ya kupata ajira hasa katika Teknorojia mpya ya Gesi kutakuwa na maonyesho ya kutangaza kuonyesha Gesi kwa ujumla, amesema maonyesho hayo yanategemea kufunguliwa rasmi tar 2 -7-2014 ambapo yatafunguliwa  na Marikia Nomsa Matsebula kutoka Farume za Kiarabu King swate.

Katibu mkuu wizara ya biashara na Viwanda ameongea kuwa wageni wengi inatalajiwa kufika katika maonyesho hayo kutokana na kuwa na maandalizi makubwa na yenye mvuto.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List