DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMESHINDA NAFASI YA URAIS TANZANIA

Watanzania wamempokea mshindi wa nafasi ya Urais kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli ndiye Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania kipindi cha hamu ya nne Rais akitokea Chama cha Mapinduzi Ccm wananchi bado wanaimani na Chama hicho kuongoza taifa, hata hivyo Vyama vilivyoshiriki nane Katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015  wa Urais, Ubunge Madiwani  ambapo, zoezi la kupiga kura lilianza Oktobar 25 mwaka huu zoezi la kupiga kura lilikamilika siku hiyo hiyo hatimaye leo amepatikana mshindi wa Urais

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List