MAGUFULI UWANJANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa  Tanzania na Algeria siku ya jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam                                                     Mchezo huo wa Tanzania na Algeria ni wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zinazotarajiwa kufanyika mwaka 2018 nchini Urusi, Watanzania na wadau mbalimbali wa michezo wametakiwa wajitokeze siku ya Jumamosi kuangalia mashindano hayo

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List