Jumapili, 20 Aprili 2014

Bondia Bernard Hopkins amshinda Beibut Shumenov kwa point


Bondia Bernard Hopkins  kushoto akipambana na Beibut Shumenov wakati wa mpambano wao uliofanyika usiku wa kuamkia leo Hopkins  alishinda kwa majaji wawili kwa mmoja mpambano huo wa raundi 12
 Bondia Bernard Hopkins  kulia akimtupia konde mpinzani wake wakati wakipambana na Beibut Shumenov wakati wa mpambano wao uliofanyika usiku wa kuamkia leo Hopkins  alishinda kwa majaji wawili kwa mmoja mpambano huo wa raundi 12
Bondia Bernard Hopkins  kulia akipambana na Beibut Shumenov wakati wa mpambano wao uliofanyika usiku wa kuamkia leo Hopkins  alishinda kwa majaji wawili kwa mmoja mpambano huo wa raundi 12

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni