mtoto Ketina Anodi akiwa na mjumbe wa nyumba kumi Bi.Verdiana Saimoni,aliyeweza kumsaidia mtoto huyo ili apate haki zake.
akinunuliwa ndala(kandambili) na Polisi wa kituo kidogo cha Sigara.
Mama anayeishi naye mtoto anayefahamika kwa jina Betrice Satibulanga
mtoto akionyesha mkono wake uliovimba kwa ajili ya kupigwa,pia alisema alikuwa anapigwa hadi kuvimba kwenye makalio.
kituo kidogo cha polisi alipofikishwa ili kupata msaada na baadae walipelekwa kituo cha polisi changombe
Mhusika anayehusika na kumtesa mtoto alijificha ili sura isionekane anayejulikana kwa jina la Maxi Katikilo
Polisi wa kituo cha changombe Engelbert Kiondo,SACP-Senior,Assistant commissioner of police-RPc TEMEKE,Amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.Ametoa onyo kwa jamii kuacha vitendo vya ukatili kwa watoto na atakeyebainika sheria itachukua mkondo wake.