Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni