Msanii wa bongo flavor Diamond Platinumz ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ndio baba wa mziki wa kizazi kipya kwa sasa baada wa kijana wake kutoka Lebo ya WCB Rayvanny boy(Raymond) kuchukua tuzo kubwa ya kutoka marekani BET ambayo haijawahi kuchukuliwa na Mtanzania yeyote licha Diamond tu kuwa nominated(kuchaguliwa) kuwania tuzo hizo.
Diamond akiongea na Waandishi wa habari amefurahi na kuonyesha kuwa WCB ni kama mwili sauti ikishindwa kuongea basi mkono utashika ndivyo ilivyotokea kwa Rayvanny.
Asante WCB kwa kutufanya watanzania kutambulika kimataifa. Angalia mapokezi ya Rayvanny airport yakiongozwa na Rais wa wasafi Diamond Platinumz a. K. a Simba.
WAATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWA WAADILIFU WANAPOTUMIA MFUMO WA NeST
-
TABORA.
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya amewataka watumishi wa umma
kuzingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2023, wanapofanya michak...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni