Msanii wa bongo flavor Diamond Platinumz ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ndio baba wa mziki wa kizazi kipya kwa sasa baada wa kijana wake kutoka Lebo ya WCB Rayvanny boy(Raymond) kuchukua tuzo kubwa ya kutoka marekani BET ambayo haijawahi kuchukuliwa na Mtanzania yeyote licha Diamond tu kuwa nominated(kuchaguliwa) kuwania tuzo hizo.
Diamond akiongea na Waandishi wa habari amefurahi na kuonyesha kuwa WCB ni kama mwili sauti ikishindwa kuongea basi mkono utashika ndivyo ilivyotokea kwa Rayvanny.
Asante WCB kwa kutufanya watanzania kutambulika kimataifa. Angalia mapokezi ya Rayvanny airport yakiongozwa na Rais wa wasafi Diamond Platinumz a. K. a Simba.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni