Baada ya staa wa Bongofleva Rayvanny kushinda tuzo za ya BET kwenye kipengele cha Best New Internationa Act, Good News nyingine ni hii ya Afrika Mashariki kuendelea kuwa kwenye headlines, ni kundi la dancers kutoka Uganda, Ghetto Kids walioshirikishwa kwenye video ya rapa French Montana kupewa nafasi ya kuperform steji moja na rapa huyo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni