Baada ya staa wa Bongofleva Rayvanny kushinda tuzo za ya BET kwenye kipengele cha Best New Internationa Act, Good News nyingine ni hii ya Afrika Mashariki kuendelea kuwa kwenye headlines, ni kundi la dancers kutoka Uganda, Ghetto Kids walioshirikishwa kwenye video ya rapa French Montana kupewa nafasi ya kuperform steji moja na rapa huyo.
Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict:
Version Conflict: Version Conflict: PAPA FRANSISCO AMEFARIKI DUNIA
-
BREAKING NEWS:
Papa Fransisco amefariki saa 19:36 kutoka Vatican.
Papa Fransisco amefariki saa 19:36 kutoka Vatican.
Pumzika kwa amani 1936-2025.
Saa 22 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni