Baada ya staa wa Bongofleva Rayvanny kushinda tuzo za ya BET kwenye kipengele cha Best New Internationa Act, Good News nyingine ni hii ya Afrika Mashariki kuendelea kuwa kwenye headlines, ni kundi la dancers kutoka Uganda, Ghetto Kids walioshirikishwa kwenye video ya rapa French Montana kupewa nafasi ya kuperform steji moja na rapa huyo.
WAJUMBE WA MKUTANO WA BARAZA LA VIWANJA VYA NDEGE AFRIKA WAFURAHIA VIVUTIO
VYA UTALII NGORONGORO
-
Na Philomena Mbirika, Ngorongoro
Wajumbe zaidi ya 137 kutoka nchi mbalimbali barani Afrika waliokuwa
wakihudhuria mkutano mkuu wa 73 wa Baraza la Viwa...
Saa 16 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni