Rais Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kufanya uteuzi wa wakuu wa wilaya wapya macho ya watanzania wengi na mitandao ya jamii yametega jicho la kwa mkuu wa wilaya ya Mufindi Ndugu:MBONI MHITA na kuongelewa katika midahalo na mijadala mingi ya vijiweni na mitandao ya Jamii.
Katika hili kuna kitu cha kujifunza kama Mtanzania hasa hususan matumizi ya mitandao ya jamii na kupitia sifa za uteuzi wake na pichaa zinazosemekana ni zake ndani ya mitandao ya jamii.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni