VETA MKOMBOZI TANZANIA ELIMU BURE NDANI SABASABA.



Chuo cha ufundi VETA(Vocational Education AND Training authority)kimaamua kutoa elimu ili kuhamasisha jamii ya watanzania kujua umuhimu wa mafunzo ya Ufundi ili kukabiliana na janga la ajila kwa vijana Tanzania.Elimu hiyo ambayo ni muhimu inatolewa Bure ndani ya Banda lao Sabasaba na kusisitiza ni vyema kuudhuria ili kujua mengi kuhusu VETA.VETA wanatoa certificate na Diploma kwa mafunzo mbalimbali ya Ufundi na Wana matawi karibu kote TANZANIA.


Bi,DORA TESHA(public relation Officer) na ndugu,SITTA PETER(public relation Manager)

JENISIA MASWAYIA(AFISA MITIHANI NA VYETI)


MASHINE ZINAZOTENGEZWA VETA

BIDHAA ZA TEKNOLOJIA MPYA ZA VETA KWA AJILI YA MIFUGO MOROGORO VETA

TEKNOLOJIA MPYA ZA UMEME NA KIFUKUZA MBU ZINAZOTENGENEZWA VETA

BIDHAA ZA TEKNOLOJIA MPYA ZA VETA KWA AJILI YA MIFUGO MOROGORO VETA


                                           VIFAA VYA KUFUNDISHIA UFUNDI VETA

                KITANDA KILICHOTENGENEZWA NA MWANAFUNZI WA VETA

 THAMANI ZA NDANI ZINAZOTENGENEZWA NA WANAFUNZI WA VETA


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List