SDM PRODUCTION MEDIA

Inahusika na mambo ya utoji wa habari na matangazo

Alhamisi, 25 Desemba 2014

KAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YATOA ZAWADI YA XMAS NA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA


Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akimkabidhi mwanafunzi Alice Chacha  anaeishi na kulelewa katika kituo cha yatima cha Kijiji Cha Furaha kilichopo Mbweni anashudia katikati ni Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu 

Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akimkabidhi Deogratius Hamisi zawadi ya vyakula kwa ajili ya Xmas na mwakas mpya  zilizotolewa na kampuni hiyo
 kwa watoto yatima wa Kijiji Cha Furaha kilichopo Mbweni anashudia katikati ni Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu 
Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akimkabidhi  Sister Oliva Paul zawadi ya vyakula kwa ajili ya Xmas na mwaka mpya  zilizotolewa na kampuni hiyokwa watoto yatima wa Kijiji Cha Furaha kilichopo Mbweni anashudia katikati ni Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu
WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA




Unknown at 22:03
Shiriki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Inaendeshwa na Blogger.

About Me

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili