MGAMBO MANISPAA YA IRINGA WAWAKIMBIZA WANAUJENGA MILIMANI




Mgambo  wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakikisambaratisha kibanda  kilichojengwa katika mlima wa Nzizi la Ng'ombe kama  sehemu ya utekelezaji wa agizo la mstahiki meya  wa Manispaa  hiyo Aman Mwamwindi na mkurugenzi wake Terresia Mahongo kwa  kutaka  wale  wote wanaovamia milima kwa ujenzi kuvunjiwa nyumba zao 
Baadhi ya  nyumba  zilizojengwa milima bila  kibali na kuvunjwa 
Afisa mtendaji  wa kata ya Mwangata Bw  Mlole   akionyesha nyumba  iliyovunjwa baada ya  kujengwa mlimani 
Mgambo  wakikusanya mabati na kutatuma korongoni 
Hawa nao  walikutwa eneo  hilo la Zizi wakijenga bila  kibali ,wimbi la  wananchi wa mji wa Iringa kuvamia milima na kujenga  limeendelea kuwa kubwa pamoja na  Halmashauri hiyo  kupiga marufuku ujenzi usio na vibali katika milima
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List