RADIO UHURU WALIVYO UAGA MWAKA 2013 KWA RAHA ZAO



 Usiku wa kuamkia leo, wafanyakazi wa Uhuru FM, Redio ya wananchi waliamua kujiachia kivyao vyao katika Bonge la tafrija la kuuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka mpya. Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja. Pichani ni wafanyakazi hao wakigonga chiaaaaaaz!!
 burudani ilitawala tafrija hiyo...
 Kila mmoja aliinuka na kucheza
 Kaimu Mkurugenzi Maama Angela Akilimali nae hakutaka kubaki kitini aliongoza safu ya kusakata kwaito.
 Wengine wali show love namna hiii
 Dj Fast Edie nae alishow love na boss bila wasi wasi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List