SERIKALI NA FUMBO LA WAKATI UJAO

"kama Serikali ingewekeza kutoka chini virabu vya soka nchini visingetumia mamilioni kumsajili Emanuel Okwi"ni kauli ya Mkugurugenzi na msimamizi mkuu wa kituo cha WAKATI UJAO.Hiki ni kituo kinachojishughulisha na kukuza vipaji vya soka toka umri mdogo kabisa ambapo kinaendesha project inayofahamika kama Football Development project .Lengo ni kutafuta na kukuza vipaji vya soka nchini kati ya i wa miaka 15 hadi 17.Katika mahojiano na mwandishi wetu amesema kituo hiko kimefanikiwa kuwatoa wachezaji kama Idrisa Rajabu,Juma Jabu(sure boy),Saimon Msuva na wengine Wengi wanaochezea virabu vya ndani na nje na Timu ya Taifa

vijana wa Wakati ujao wakiwa mazoezini

vijana wa Wakati ujao wakiwa mazoezini


vijana wa Wakati ujao wakiwa mazoezini


vijana wa Wakati ujao wakiwa mazoezini


MSIMAMIZI MKUU WA KITUO CHA WAKATI UJAO AKITOA MAELEKEZO KWA VIJANA

MSIMAMIZI MKUU WA KITUO CHA WAKATI UJAO AKITOA MAELEKEZO KWA VIJANA

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List