TUTANGAZE UTALII WA NDANI SABASABA

Watanzania wametakiwa kutembelea mabanda ya wanyama pia ni moja ya kutangaza utalii wa ndani.Wahifadhi hao wa wanyama poli wamesema japo watanzania wengi kipato chao ni cha chini ila bado wana nafasi ya kutembelea sehemu za utaliii hususani mbuga za wanyama.Watanzania wameombwa kufuata utaratibu wanapokuwa katika mabanda ya wanyama.
baadhi ya wanyama ambao wapo sabasaba

Kitwala Omary(muhifadhi wanyama poli)

Abduli Juma(muhifadhi wanyama poli)

Daniel Gumbo(muhifadhi wanyama poli)
Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List