Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Viungo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia
Najiuliza kwa Sauti Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa ? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi..
KAMATI YA BUNGE YADHIHIRISHIWA JINSI MTU KALE ALIVYOPATIKANA NGORONGORO
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikiongozwa na
Mwenyekiti wake Mhe. Timotheo Mnzava (Mb) leo tarehe 13 Machi, 2026 Karatu
imedh...
Saa 12 zilizopita

0 comments:
Chapisha Maoni