KANISA LA ANGLIKANA ST.AGENES YOMBO VITUKA YAFANYA IBADA MAALUMU YA KUIOMBEA TAIFA UCHAGUZI UFANYIKE KWA AMANI


Kanisa la Anglikana la Yombo Vituka Jijini Dar Es Salaam wakiwa katika Ibada maarumu ya kuiombea taifa liweze kupata kiongozi mwenye Maono ya kumjuwa Mungu na Wananchi wake na kuendeleza  Amani ya taifa na upendo kwa Raia bila kujari matabaka.
Ibada hiyo imeongozwa na Baba Michael  Ndawile wa Kanisa la Angirikana la Yombo Vituka  amesema pamoja na Ibada hiyo ya Maombi ya kuimbea taifa kupata Viongozi bora ,pia amewataka wananchi wajitokeze kujiandikisha katika Daftari ya Kudumu la Kupiga Kura siku hikifika waweze kuchagua Viongozi bora.
Kila  mmoja kwa nafasi yake Viongozi  wa Dini ,Serikali na sekta binafi  wote  wakiamasisha wananchi wajitokeze katika zoezi la kujiandikisha kwa uchaguzi zijazo kuchagua viongozi wa Urais,Ubunge na Udiwani.
Zoezi hilo la Kujiandikisha likiendelea Jijini Dar Es Salaam.










Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List