Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo ametoa ahadi ya kuboresha biashara ya bodaboda ikiwa atapatiwa nafasi ya kuwa Mbunge.
Mgombea huyo ameonyesha mapenzi yake kwa wafanyabiashara hiyo na kutoa ahadi ya kuwapatia mikopo kwa vikundi hivyo vya Bodaboda na kuwasimamia wasipate kero ya kuendesha shughuli zao.
Pia Katika Hali ya kufurahisha Mgombea ametoa ahadi ya kila kata kupewa millioni kumi ili kwa ajili ya kuanzisha vikundi vya kukopeshana ili kutoa tatizo la umaskini Tanzania.
MCT KUKUTANA NA WADAU WA HABARI. KUTATHMINI CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA BAADA
YA UCHAGUZI
-
Na Mwandishi wetu
Kufuatia matukio ya ghasia na changamoto zilizojitokeza baada ya Uchaguzi
Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Baraza la Habari Tanzania (MCT) li...
Dakika 18 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni