Tuzo ya ufanyaji Kazi kwa Ubora. Ufanisi maadiri mema ya Utumishi wa Umma. Mwenyekiti wa Bodi Yono action mart Staniley Kevela amesema Yono ni Wakala wa TRA wa Ukusanyaji wa Kodi kazi hiyo wamepewa na Serikali sasa Wana miezi nane wamekusanya Bilion 20 kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali nchini. Ambapo Kodena 329 zilikamatwa Bandarini nazo wamekusanya Bilion 18 lengo nazo zifike Bilion 20. Kevela amesema Tuzo hizo kwa Kampuni ya Yono wamepewa kwa kazi ya Ukusanyaji wa Kodi wamefanya kwa uwadilifu jumla nchi 29 zitashiriki kupewa Tuzo hizo kwa nchi, za Afrika ni Tanzania ikiwakilishwa na Kampuni ya Yono tar 24 hadi 25 Juray mwaka huu
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni