Baba Askofu Mkuu Nabii Paulo Bendera wa Kanisa la Ufunuo akitowa huduma ya Utumishi Wa Mungu kwa Watu wenye Shida Mbalimbali huduma hiyo Akitowa katika Kanisa la Ufunuo Kimara lililopo jijini Dar es salaam. Baba Nabii Bendera amewataka Jamii nchini pamoja na Walezi watumie muda mwingi kukaa na Watoto wao waweze kuwafunza neno la Mungu ili waweze kuwa na maadiri mema ya kumpendeza mwenyezi Mungu matatizo ya utumiaji wa dawa za kulevya. bangi. Ushoga. Usagaji pamoja na ngono zembe kukataza taifa liwe na Vijana Imara wenye hofu ya Mungu
KAMA UNA UGOMVI NA MTU KARIBU MAPOROMOKO YA MAJI ENDORO
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro imeanza utekelezaji wa mpango
maalum wa kuboresha eneo la Endoro ili litumike kama sehemu ya utalii tiba
kwa wa...
Saa 11 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni