Viongozi wa ligi kuu ya Uingereza wamesema Chelsea ni timu tofauti na ile ilioanza msimu,lakini ni sharti inyenyekee,mkufunzi wake Antonio Conte amesema.
Timu hiyo iliishinda Tottenham Hotspurs 2-1 katika uwanja wa Stamford Bridge hivyobasi kujipatia ushindi wao 7 mfulululizo.
Ushindi huo umeimarisha uongozi wa klabu hiyo katika kilele cha ligi.
Nadhani sasa tuna timu tofauti, tuna motisha tofauti, na ni muhimu kuendelea kuwa wanyenyekevu, alisema Conte.
Unaposhindwa debi muhimu,lazima ufurahie lazima tuendelee kufanya kazi.
MKURUGENZI WA MAWASILIANO YA RAIS IKULU BAKARI MACHUMU AKUTANA NA WANABLOGU
NA WAZALISHAJI MAUDHUI MTANDAONI IKULU DAR
-
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bw. Bakari Machumu akiwa na
viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Waandishi wa Habari wa
Mtandaoni, pa...
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni