Wajasiliamali wadogo waiomba serikali kurahisisha mzunguko wa fedha ili waweze kujipatia kipato.Pia wameiomba serikali kuboresha mazingira ya kazi zao na miundombinu ili kujiongezea faida katika harakati zao.Wakiongea na MWANDISHI wa blog mafundi ujenzi na wajasiliamali wamesema kwamba hali ya maisha imekuwa ngumu kupitiliza kutokana na watu kutokujenga nyumba na wanunuzi wa bidhaa kutoonekana na kusababisha kuyumba kwa familia na hali ya maisha kutokuwa sawa kabisa.
MKURUGENZI WA MAWASILIANO YA RAIS IKULU BAKARI MACHUMU AKUTANA NA WANABLOGU
NA WAZALISHAJI MAUDHUI MTANDAONI IKULU DAR
-
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bw. Bakari Machumu akiwa na
viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na Waandishi wa Habari wa
Mtandaoni, pa...
Saa 18 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni