Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.
MBETO: RAIS DKT. MWINYI KUTEKELEZA AHADI ZOTE BILA 'LONGO LONGO' ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi kimewatoa hofu waZanzibari kuwa ahadi zote za kisera
zilizoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2...
Saa 9 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni