Aliyekuwa miss Tanzania na Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kama Wema Sepetu amehama rasmi chama alichokuwa amekipigania wakati wa kampeni na kuamia Chadema.
Kitendo hicho kinahusishwa na tuhuma zake za kutumia dawa za kulevya ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alimtaja mbele ya vyombo vya habari kama mtumiaji.kilichomfanya kuchukia sana na kuchukua maamuzi ya kuhama chama.
NGORONGORO MOTO MOTO BAJETI 2026/2027
-
Na Kassim Nyaki, Dodoma.
Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya
Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa...
Saa 18 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni