"Mimi kama mwanasiasa ukiona mtu ambaye ni adui yako umefanya jambo akakusifia ujue lipo tatizo, ila ukiona umefanya jambo adui yako akasema umekosea maana yake umepatia sana.
"Mimi naomba nimpongeze Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyofanya na niwaambie waheshimiwa wabunge, duniani kote 'Extractive Industries' inaenda kubadilika atakaye kuwa kwenye historia ya kubadilisha Extractive Industries ni Rais Magufuli.
"Leo duniani kote kila kwenye migodi mambo yatabadilika kwa sababu ya Magufuli amefungua milango, niwaambieni watanzania tusiogope kwenye hili lazima tuwe nyuma ya Rais tumuunge mkono aendelee na nina hakika wawekezaji watakuja mezani."
Mheshimiwa Peter Serukamba
Mbunge wa Kigoma Vijijini (CCM)
NYAYO ZA LAETOLI FURSA YA VIWANDA VYA VIATU DUNIANI KUTENGENEZA VIATU VYA
KIHISTORIA
-
Kuna methali isemayo “Asiyejua maana haambiwi maana “ lakini Ngorongoro leo
itakuambia maana ya Nyayo za Laetoli.
Nyayo hizi ni za kihistoria na ni se...
Saa 20 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni