Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' wamerudishwa rumande mpaka July 13, 2017.
Mheshimiwa Hakimu Victoria Nongwa wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar Es Salaam alisema kuwa makosa yao matatu kati ya matano yanayowakabili hayana dhamana kwani yanahusiana na kughushi. Kwa misingi hiyo ya kisheria, Hakimu aliamua watuhumiwa hao waende rumande hadi tarehe 13 Julai kesi hiyo itakapotajwa tena.
NGORONGORO MOTO MOTO BAJETI 2026/2027
-
Na Kassim Nyaki, Dodoma.
Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya
Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa...
Saa 12 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni