TANZIA :
BURIANI BRADLEY, VITA UMEIPIGA
Mtoto Bradley Lowery (6), ambaye amekuwa anateseka kwa ugonjwa wa kansa aina ya neuroblastoma ambao ni nadra tangu akiwa na umri wa miaka miwili, amefariki dunia.
Bradley alifahamika kwa mapenzi yake ya soka na alikuwa akiishabikia sana timu Sunderland na alikuwa rafiki wa karibu sana wa mchezaji Jermaine Bradley.
Familia yake imethibitisha taarifa hii kwa kutoa ujumbe ulisema "Kijana wetu mkakamavu ameenda kuwa na malaika leo.
"Alikuwa shujaa wetu na alipigana sana lakini alihitajika kwingine. Hatuna maneno ya kueleza jinsi tulivyohuzunish
wa na kifo chake."
Kutoka SDM production media tunaungana na wapenda soka duniani kumwomba Mungu kuipumzisha roho ya Bradley Lowrey mahali pema peponi."
KAMA UNA UGOMVI NA MTU KARIBU MAPOROMOKO YA MAJI ENDORO
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro imeanza utekelezaji wa mpango
maalum wa kuboresha eneo la Endoro ili litumike kama sehemu ya utalii tiba
kwa wa...
Saa 15 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni