TANZIA :
BURIANI BRADLEY, VITA UMEIPIGA
Mtoto Bradley Lowery (6), ambaye amekuwa anateseka kwa ugonjwa wa kansa aina ya neuroblastoma ambao ni nadra tangu akiwa na umri wa miaka miwili, amefariki dunia.
Bradley alifahamika kwa mapenzi yake ya soka na alikuwa akiishabikia sana timu Sunderland na alikuwa rafiki wa karibu sana wa mchezaji Jermaine Bradley.
Familia yake imethibitisha taarifa hii kwa kutoa ujumbe ulisema "Kijana wetu mkakamavu ameenda kuwa na malaika leo.
"Alikuwa shujaa wetu na alipigana sana lakini alihitajika kwingine. Hatuna maneno ya kueleza jinsi tulivyohuzunish
wa na kifo chake."
Kutoka SDM production media tunaungana na wapenda soka duniani kumwomba Mungu kuipumzisha roho ya Bradley Lowrey mahali pema peponi."
NGORONGORO MOTO MOTO BAJETI 2026/2027
-
Na Kassim Nyaki, Dodoma.
Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya
Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa...
Saa 14 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni