Katika kupigania na kuhakikisha utekelezaji wa sera na ilani ya Chama cha mapinduzi hususan Tanzania ya Viwanda. Mbunge wa chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete amesema "Maendeleo ya Viwanda na uwekezaji yanategemea sana Mazingira Bora yaliyowekwa na Njia sahihi zisizo na mikwamo".Hayo yamesemwa katika Ziara ya Taasisi ya Kibunge inayopambana na Magonjwa ya Milipuko na Malaria katika Kiwanda Cha Vyandarua Cha A To Z-Arusha.
Katika ziara hiyo Mhe Ridhiwani Kikwete alipata nafasi ya kuangalia uzalishaji wa Vyandarua na kujifunza mambo ili kutengeneza fursa katika jimbo lake la Chalinze.
PAC YAPONGEZA UJENZI NYUMBA 109 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA TOPE HANANG
-
Katika taarifa yake, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia
masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema, ujenzi wa nyumba
hi...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni