Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, (kulia) akipokea zawadi ya Kinyago cha Twiga kutoka kwa Msanii maarufu Mzee Otmar Francos Mpanda kutoka Mkoani Mtwara wilaya ya Masasi,pia akiwa Mzee wa CCM Wilaya hiyo,hafla hiyo ilifanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
KAMPUNI YA SWEDEN KUWEKEZA TEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI NCHINI
-
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, akijadiliana na
maafisa watendaji wa kampuni ya SPOWDI, Henrik Johanson (katikati) na
Christophe...
Saa 7 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni