UCHAWI WATUMIKA MAONYESHO YA WAKULIMA KANDA YA MASHARIKI NANE NANE KUWAVUTA WATU KATIKA MABANDA MOROGORO.



 Msanii wa salakasi, Hassan Mkenjula a.k.a Spider Man akionyesha uchwi unaotokana na mazoezi katika moja ya mabanda kwenye maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki namna anavyoweza kulala akiwa juu ya kamba yanayofanyika kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwl Julius Nyerere Nane Nane Manispaa ya Morogoro. 
PICHA WWW.JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 Baada ya kuvaa nguo zote Spider Man akion
ekana huku akitembea juu ya kamba baada ya kuvaa nguo ikiwemo fulana, tai na suruali.
 Baada ya kuvaa zote juu ya kamba hiyo.
 akimalizia kuvaa mguu wa kushoto.
 akivaa mguu wa kulia.
 suari kabla ya kuivaa akiwa juu ya kamba hiyo.
 akivaa.
 Akionyesha fulana kabla ya kuivaa.
 
Alianza hivi wakati akifuata nguo ili aweze kuvaa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List