Mbunifu
wa mitindo nchini Asia Idarous akizungumza wakati wa uzinduzi wa
shindano jipya la wanamitindo linalojulikana kwa jina la Tanzania Top
Model uliofanyika kwenye mgahawa wa City Sports Lounge jijini Dar es
salaam jana na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa mitindo ya mavazi,
Kulia ni Jackson Kalikumtima Mkurugenzi wa Kamati ya Tanzania Top Model
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
TISEZA YAITA WAZAWA KUWEKEZA KWALA
-
Kaimu Meneja Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma Mamlaka ya ya Uwekezaji
na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) Adrina Rushakya
amesema...
0 comments:
Chapisha Maoni