JUKWAA LA WAHARIRI WA HABARI TANZANIA WATEMBELEA SHAMBA LA MIFUGO LA ASAS DAIRIES LTD IRINGA




 Wahariri wa vyombo mbali mbali  vya habari nchini Tanzania wakimsikiliza kwa makini mkurugenzi  wa Asas Dairies Ltd Bw  Salim Asas Abri wakati  akitoa maelezo ya  shamba  lake la mifugo baada ya  wahariri hao kutembelea  shamba  hilo eneo la Nduli Iringa jana
 Bw Asas akitoa maelezo ya jinsi anavyoendesha  shamba  hilo bora  la mifugo Iringa  kwa  wahariri  wa habari nchini
 Mhariri  wa gazeti la Taifa  Tanzania  akimtazama  ng'ombe wa  kisasa katika  shamba  hilo la Asas Dairies Ltd
 Wahariri  wa  vyombo  vya habari nchini  wakitazama ng'ombe wa  kisasa katika  shamba la mifugo la Asas Dairies Ltd baada ya  kutembelea  shamba  hilo jana eneo la Nduli nje kidogo na mji  wa Iringa
 Baadhi ya  wahariri  wa  vyombo  vya habari nchini wakipiga  picha ng'ombe za  kisasa katika  shamba la Asas Dairies Ltd baada ya  kutembelea  kujifunza ufugaji katika  shamba  hilo jana
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List