MKE WA RAIS, MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA RASMI MAONESHO YA WANAWAKE WAJASILIAMALI NCHINI


 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akivishwa bangili na mama Esther Moreto na Nelgwe Kikoti wajasiriamali wa kabila la wamasai kutoka katika kijiji cha Kwamakweza huko Chalinze, wilayani Bagamoyo. Akina mama hao mno miongoni mwa wajasiriamali wanaoonyesha bidhaa zao Mnazi mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania wanaoonyesha bidhaa zao kwenye maonesho yanayofanyika Mnazi Mmoja.
 Akinamama wajasiriamali wakisikiliza hotuba mbalimbali za viongozi wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo kwenye uwanja wa Mnazi Mmoja.
 Akinamama wajasiriamali wakisherehekea ufunguzi rasmi wa maonesho yao uliofanywa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List