SIMBA YAPOKEA KICHAPO CHA BAO 2-1





Azam waliendelea kulisakama lango la Simba na kufanikiwa kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Kipre Tchetche dakika ya 45 akimalizia krosi safi ya Erasto Nyoni na kufanya timu zote kwenye mapumziko zikiwa zimetoshana nguvu kwa bao 1-1.  

 Mpaka mwisho wa mchezo Simba imepokea kichapo cha kwanza tokea ligi kuu ya Vodacom baada ya kulala kwa Timu ya Azam Fc baada ya kufungwa bao 2-1 katika mchezo uliochezwa leo uwanja wa Taifa jijini Dar.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List