TBL YAZINDUA PROMOSHENI YA NANI MTANI JEMBE


HENI YA NANI MTANI JEMBE
Evodius Mtawala, Aden Rage, Mohammed Bhinda na Mwalusako wakishindana kuvuta kamba. Katikati ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe na Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, Kushila Thomas.  (Picha na Francis Dande)  
 Mashabiki wa Yanga na Simba wakisakata muziki wa dansi wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Nani Mtani Jembe inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.
Mwenyeikiti wa Simba, Ismail Aden Rage akiteta jambo na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Lawrence Mwalusako wakati wa uzinduzi wa tamasha la Nani Mtani Jembe linaloshirikisha mashabiki wa Simba na Yanga na kudhamiwa na TBL.
Viongozi wa Yanga na Simba wakicheza fussball wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Nani Mtani Jembe inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List