Mkurugenzi
Mtendaji wa kiwanda cha Sukari-ILOVO, Mark Bainbridge (kulia) akipokea
sehemu ya vifaa vya michezo kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki
Bw. Nazareth Lebbi. Vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 7 na
laki 5 vimetolewa na NMB kwa ajili ya bonanza ya ujirani mwema kwa
taasisi zilizopo Kidatu- Kilombero. Wakishuhudia kutoka kulia ni Meneja
Utumishi-ILOVO Bw. Beda Marwa, Meneja wa tawi la NMB Kilombero, Bw.Henry
Shadolo pamoja na ofisa kutoka ILOVO.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni