NMB YATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA KIWANDA CHA SUKARI-ILOVO



Bonanza 1Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha Sukari-ILOVO, Mark Bainbridge (kulia) akipokea sehemu ya vifaa vya michezo kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki Bw. Nazareth Lebbi. Vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni 7 na laki 5 vimetolewa na NMB kwa ajili ya bonanza ya ujirani mwema kwa taasisi zilizopo Kidatu- Kilombero. Wakishuhudia kutoka kulia ni Meneja Utumishi-ILOVO Bw. Beda Marwa, Meneja wa tawi la NMB Kilombero, Bw.Henry Shadolo pamoja na ofisa kutoka ILOVO.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List