wezeshaji toka TMF Bw Sanga akiwapongeza washiriki kwa ushiriki wao mzuri leo
|
Mmoja kati ya watenda kazi wa TMF Bi Joyce akiwajibika leo |
Mwezeshaji Beda Msimbe akiendelea
kuwanoa wanahabari wamiliki wa mitandao ya kijamii nchini ambao
wanapatiwa mafunzo na TMF
|
Wanahabari wa
vyombo mbali mbali na wamiliki wa mitandao ya kijamii (Blog)
wakiendelea na mafunzo yao ya siku nne katika ukumbi wa Dodoma
Hotel leo,mafunzo yaliyolenga kuboresha uandishi wa mitandao ya
kijamii |
|
Wanahabari wakionyesha kufurahia mafunzo ya uandishi wa mitandaoni leo mjini Dodoma |
|
Mmoja kati ya
wawezeshaji wa mafunzo hayo Bw Beda akiwapa mafunzo wanahabari
wamiliki wa blog ili kuzingatia maadili katika kutumikia vyombo hivyo
nchini |
|
Mwanahabari
Brandy Nelson akijitambulisha kabla ya mafunzo hayo ya TMF ambayo
bila shaka yataongeza ubora wa blog nchini Tanzania |
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Chapisha Maoni