UZINDUZI WA REAL UNIQ TZ WAFUNIKA JIJINI DAR



 Mkurugenzi Fabak Fashion, Asia Idarous Khamsin akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa Kampuni ya Real Uniq Tz jijini Dar es Salaam jana usiku. Uzinduzi huo ambao ulijaza umati wa watu katika ukumbi wa Samaki Samaki uliopo mtaa wa Samora.

Kampuni hiyo itakuwa inashughulisha na shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na Utengenezaji wa Matangazo ya Biashara, Modeling/Mitindo Uratibu wa Shughuli mbalimbali pamoja na Mabausa.SOURCE: FATHER KIDEVU BLOG.
Asia Idarous alisema kuwa uwepo wa kampuni hiyo ya kwanza nchini inayotoa huduma hizo italeta ufanisi hasa katika tasnia ya mitindo ambapo hutumia zaidi warembo katika maonesho ya mavazi.
 Mmoja wa mamodel wa kampuni ya Real Uniq Tz akipita jukwaani akiwa amevalia kivazi cha Kanga kilichobuniwa na na Asia Idorous wa Fabak Fashion.
 Asia akiwa na Models waliovalia vazi la kanga za Tanzania kutoka Faback Fashion.
 Burudani kutoka Michael Jackson wa Tanzania ilikuwepo.
 Baaadhi ya warembo walioshiriki shindano la Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
 Hii ndo ilikuwa tatu bora ya Miss Tanzania 2013, Miss Tz, Happiness Watimanywa (katikati) akiwa na Latifa Mohamed (kushoto) na Clara Bayo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List