CHARLES BONIFACE MKWASA NA JUMA PONDAMALI WAANZA KUKIFUA KIKOSI CHA WANAJANGWANI



 Kocha mpya wa makipa wa timu ya Yanga, Juma Pondamali (kushoto) akimfanyisha mazoezi kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja wakati wa mazoezi yanayofanyika kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Pondamali na Boniface Mkwasa, wameteuliwa kukinoa kikosi hiho baada ya kutimuliwa aliyekuwa kocha mkuu kutimuliwa mwishoni mwa mwezi uliopita.
Kocha mpya wa Yanga, Charles Mkwasa (kulia) akiwafua wachezaji wakati wa mazoezi yao yanayoendelea kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama, Dar es Salaam. Kocha huyo ameteuliwa kuchukua mikoba ya kocha mkuu aliyetilimuliwa mwishoni mwa mwezi ulipoita.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List