Mwahandishi wa Habari gazeti la Hoja nchini Muchunguzi Kamugisha anawashauri watanzania wapende utamaduni wa Asiri yao kulingana na Kabila lake.waache kuiga tamaduni za Kigeni azina tija ya maendeleo za tamaduni za asilia hata hivyo vizazi vijayo awatajua asili za mila na deturi za kabila zao
Kamgisha amesema hipo haja ya kuangalia mila zilizobola
Kamgisha akiongea na mwandishi wa blog sdm production media jijini Dar es salam
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
-
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
Siku 1 iliyopita
Blogger Comment