Askari Polisi akiwatuliza wanakijiji wa kijiji cha Masanganya Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani, jana baada ya hatua walizozichukua za Kumfukuza Mwenyekiti wa Kijiji
hicho, Rajabu Iddi juzi kutokana na
ubadhilifu wa matumizi mabaya na kutumia vibaya madaraka yake wakati wa Mkutano na Viongozi wa
Wilaya ya Kisarawe. Picha na Jumanne Juma.
KUPAA KWA UCHUMI TANZANIA KUTAONGEZA UWEKEZAJI:MAKOBA
-
*Na Mwandishi wetu, Dodoma*
Imeelezwa kuwa ripoti ya hivi karibuni ya Shirika la Fedha Duniani (IMF),
inayoonesha kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kuk...
Saa 12 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni