EMIR WA KANO,NIGERIA HATIMAYE AZIKWA



Emir wa Kano Al hajj Ado Bayero

Mazishi ya Emir wa eneo la KANO
kazkazini mwa Nigeria yamefanyika.
Al haji Ado Bayero mmoja wa viongozi wa kidini anayeheshimiwa sana nchini humo alifariki mapema siku ya ijumaa akiwa na umri wa miaka 83
Ni kiongozi wa pili kwa ukubwa wa dini ya kiislamu baada ya Sultan wa Sokoto.
Mwili wake ulizikwa katika makaburi ambayo mababu zake walizikwa karibu na nyumba yake huko Kano.
Kiongozi huyo wa dini alikuwa mkosoaji mkubwa wa kundi la wanamgambo wa boko haram.

Alinusurika shambulizi la mauaji na washukiwa wa kundi hilo mwaka uliopita.E

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List