KAMPUNI YA MIYOMBO GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD,ASALI KWA AFYA BORA NA MAISHA MAREFU

Kampuni ya MIYOMBO GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD ambayo inazalisha asali kwa kiasi kikubwa na yenye ubora na safi kwa afya ya Binadamu imeonyesha mafanikio makubwa kwa wajasiliamali,kampuni hiyo ipo Tabora Itaga ambapo kuna mizinga 600 shambani japo wana lengo la kuwa na mizinga elfu kumi.Katika kuonyesha faida yake kwa jamii kampuni hiyo imetoa ajila kwa Watanzania wazawa wengi wenye utaalamu huo.

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Miyombo GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD akielezea kazi za asali amesema kuwa Asali ni kinga,pia ni Tiba kwa magonjwa mbalimbali hivyo watanzania wanatakiwa kutumia katika matumizi ya kawaida na si kusubiri magonjwa ndo waanze kutumia.

Pia amezungumzia jamii bado haina uelewa mzuri wa kutambua matumizi ya asali na kutoa ushauri kwa taasisi zinazohusika kutoa kipaumbele katika zao hilo. kampuni ya Miyombo GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD imechukua nafasi kubwa katika soko la ndani na Wanazingatia sana suala la usafi katika uzalishaji wa zao hilo la asali.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Miyombo GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD MR; FREDY SWAI


Baadhi ya Bidhaa zinazozalishwa na kampuni ya Miyombo GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD

Baadhi ya Bidhaa zinazozalishwa na kampuni ya Miyombo GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Miyombo GOLDEN RESOURCE COMPANY LTD MR; FREDY SWAI
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List